Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Wakulima, wafugaji na wananchi eneo la Uzini, wametakiwa wajitokeze kwa wingi ili kuipigia kura CCM ili kuiendeleza Zanzibar kwa kasi zaidi.
Akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika uwanja wa michezo Uzini, Wilaya ya Kati, Unguja alisema CCM kitaendelea kuweka mkazo zaidi katika kuwasaidia wakulima na wafugaji ili kuimarisha uzalishaji na kuinua maisha ya wananchi.
"Tutaongeza fungu la bajeti kwa makundi ya wakulima na wafugaji" alisema.
Alisema Dkt. Mwinyi serikali itawapatia pembejeo, mbegu bora, mbolea na masoko ya bidhaa zao kwa wakati.
Alibainisha kuwa mikopo nafuu isiyo na riba kuendeleza shughuli itaendelea kutolewa.
September 17, 2025
Home
Unlabelled
Dkt. Mwinyi: Wafugaji, wakulima Uzini pigieni CCM
Dkt. Mwinyi: Wafugaji, wakulima Uzini pigieni CCM
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.



No comments:
Post a Comment