Mkurugenzi wa huduma kwa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa LPF , Bwana Valerian Mablanketi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Mkutano wa 6 wa wadau wa mfuko huo unaotarajia kufanyika Octoba 11 hadi 12 mwaka huu katika ukumbi wa mikutano wa AICC jijini Arusha,kulia ni Meneja wa Mfuko huo kanda ya Dar es salaam Bi.Amina Khasim. (Picha na Ferdinand Shayo)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.


No comments:
Post a Comment