HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

July 06, 2014

BANDA LA UTT LAVUTIA WENGI MAONYESHO YA SABASABA

 Ofisa Mafunzo wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), Hilder Joseph akifafanua jambo kwa watu waliotembelea banda la UTT katika Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa kewenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Ofisa Masoko Mwandamizi wa UTT, Martha Mashiku akifafanua jambo watu waliofika katika banda la UTT.


Ofisa Masoko wa Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania UTT, Waziri Ramadhani akijaza fomu ya mtoto aliyejiunga na Mfuko wa Watoto wakati wa Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), kwsenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa UTT, Martha Mashiku.
Mtoto aliyejiunga na Mfuko wa watoto akipewa zawadi.
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT, Daudi Mbaga akizungumza na wateja waliotaka kujua faida watakazopata baada ya kujiunga na Mfuko wa Dhamana ya Uwekezaji. 
 Ofisa Masoko wa UTT, Waziri Ramadhani akijaza fomu za kujiunga na Mfuko huo wa Dhamana ya Uwekezaji kwa mwanachama mpya.

No comments:

Post a Comment

Pages