Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli 
  akiwa na viongozi wengine akifunua pazia kuashiria uwekaji wa  jiwe
 la msingi la uzinduzi wa mradi wa mfumo wa rada za kuongozea ndege za 
kiraia katika vituo vinne vya JNIA, KIA, Mwanza na Songwe iliyofanyika 
kwenye uwanja wa ndege wa kimataiafa wa Julius Nyerere jijini Dar es 
salaam leo Aprili 2, 2018.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli 
 akipata maelezo ya toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa 
anga TCAA Bw. Hamza Johari  katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la
 uzinduzi wa mradi wa mfumo wa rada za kuongozea ndege za kiraia katika 
vituo vinne vya JNIA, KIA, Mwanza na Songwe iliyofanyika kwenye uwanja 
wa ndege wa kimataiafa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Aprili
 2, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli 
 akisalimiana
 na Msanii wa Bongo Fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond ambaye 
alikuwepo kushuhudia uwekaji wa jiwe la msingi la uzinduzi wa mradi wa 
mfumo wa rada za kuongozea ndege za kiraia katika vituo vinne vya JNIA, 
KIA, Mwanza na Songwe iliyofanyika kwenye uwanja wa ndege wa kimataiafa 
wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Aprili 2, 2018 
 Ndege ya tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400  ikipigiwa saluti ya maji baada
 ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea
 Montreal, Canada, na kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi wakiongozwa
 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo 
Aprili 2, 2018
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na viongozi wa dini na wa ATC ndani ya ndege
 ya tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400  ilipowasili katika uwanja wa ndege 
wa kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Montreal, Canada, leo Aprili 2, 
2018 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli akitelemka kutoka kwenye  ndege ya tatu ya Bombadier 8 Dash 
Q-400  ilipoipokea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere
 ikitokea Montreal, Canada, leo Aprili 2, 2018
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Jack 
Zoka  huku akishuhudiwa na marubani mara baada ya kupokea ndege ya tatu 
ya Bombadier 8 Dash Q-400  ilipotua katika uwanja wa ndege wa kimataifa 
wa Julius Nyerere ikitokea Montreal, Canada, leo Aprili 2, 2018 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli akishangiliwa na umati wa wananchi baada ya kupokea ndege ya 
tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa 
Julius Nyerere ikitokea Montreal, Canada, leo Aprili 2, 2018 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe 
Magufuli akipongezwa na Mwenyekiti wa Tanzania society of Travel Agents 
(TASOTA) Bw. Mustafa Khataw  baada ya kupokea ndege ya tatu ya Bombadier
 8 Dash Q-400  katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere 
ikitokea Montreal, Canada, leo Aprili 2, 2018 
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipongezwa 
na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani ya KKKT Dkt.  Alex 
Malasusa baada ya kupokea ndege ya tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400  
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Montreal,
 Canada, leo Aprili 2, 2018
 
Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipongezwa 
na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani ya KKKT Dkt.  Alex 
Malasusa baada ya kupokea ndege ya tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400  
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Montreal,
 Canada, leo Aprili 2, 2018 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiaga 
 baada ya kupokea ndege ya tatu ya Bombadier 8 Dash Q-400  katika uwanja
 wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere ikitokea Montreal, Canada, leo 
Aprili 2, 2018. Picha na IKULU
 
 










 
 

 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment