HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 21, 2020

YANGA, AZAM HAKUNA MBABE

Beki wa Yanga, Said Makapu, akimiliki mpira huku akizongwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Idd Seleman, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Juni 21, 2020. Timu hizo hazikufungana. (Picha zote kwa hisani ya Shaffih Dauda).
 Mshambuliaji wa Azam FC, Richard Djodi, akiwatoka wachezaji wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Pages