Balozi wa Pakistan nchini Tanzania, Mohammad Saleem (kushoto), akimkabidhi tuzo ya "Best Islamic Banking services for driving financial inclusion", Mkuu wa Kitengo cha CRDB Al-Barakah Banking, Rashid
Rashid, katika kongamano la 9 la African Islamic Banking
and Takaful Summit lililofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 26,
2022. Kongamano hilo liliwakutanisha wadau wa sekta ya fedha pamoja na bima kutoka nchi mbalimbali barani Afrika.
Mkuu wa Kitengo cha CRDB Al-Barakah Banking, Rashid
Rashid, akitoa mada katika kongamano la 9 la African Islamic Banking and
Takaful Summit lililofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 26, 2022.










No comments:
Post a Comment