HABARI MSETO (HEADER)


 


Breaking

January 08, 2015

MICHUANO YA TAIFA YA NETIBOLI YASHIKA KASI

Mfungaji wa timu ya Temeke, Fatuma Mchenga akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa timu ya Dodoma,  katika mashindano ya Taifa ya Netiboli kwenye Uwanja wa Sigara Chang'ombe jijini Dar es Salaam. Temeke ilishinda 24-21.
 Mshambulia wa timu ya Temeke, Matalena Mhagama (kushoto) akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa timu ya Dodoma, Magreth Matiko wakati wa michuano ya Netiboli ya Taifa yanayoendelea kwenye Uwanja wa Sigara Chang’ombe jijini Dar es Salaam. Temeke ilishinda 24-21.
Mchezaji wa kati wa timu ya Temeke, Betina Kazinja (katikati) akimiliki mpira huku akizongwa na wachezaji wa timu ya mkoa wa Dodoma wakati wa michuano ya Netiboli ya Taifa.
 Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Temeke, Faraja Malaki (kulia) akitafuta mbinu za kumtoka Mwamvita Mohamed katika michuano ya Netiboli ya Taifa.
  Benchi la ufundi la timu ya Mkoa wa Dodoma wakifuatilia mchezo huo.
 Kikosi cha timu ya Temeke.
 Kikosi cha timu ya Mkoa wa Dodoma.
 Wachezaji wa timu ya Temeke.

No comments:

Post a Comment

Pages