Mkuu wa ngome ya Wazee wa ACT Wazalendo, Chake Chake, Fakhi Ali Juma ambaye amehamia CCM na wanachama wengine 453 wa chama hicho, alisema atamshawishi mgombea Urais wa chama chake hicho alichotoka, kumpigia kura Dkt. Hussein Ali Mwinyi kutokana na ukweli kuwa toka 1995 hajapatikana kiongozi bora kama yeye.
Akizingumza katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM, Pemba viwanja vya Gombani ya Kale 15 Septemba 2025, Fakhi alisema ACT Wazalendo wameshajua kuwa Dkt. Mwinyi ndio Rais wa Zanzibar ila wanaficha ukweli.
"Mashule yamejengwa, barabara ndio hizo, mahospitali ndio usiseme" wanaujua ukweli hivyo hakuna haja ya kuficha ukweli" alisema Fakhi.
September 16, 2025
Home
Unlabelled
Ngome ya ACT Wazalendo Pemba yasambaratika
Ngome ya ACT Wazalendo Pemba yasambaratika
Share This
About HABARI MSETO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
-Recovered-Recovered.jpg)


No comments:
Post a Comment