Yanga SC yaanza kwa kishindo NMB Mapinduzi Cup 2026, yaifumua KVZ HABARI MSETO 4.1.26 0 MABINGWA wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Yanga, wameanza kwa kishindo Mashindano ya NMB Mapinduzi Cup 2026, baada ya kukichakaza Kikosi ch... Read more »
KATA ZA KIRUA VUNJO, MINDU KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MADIWANI HABARI MSETO 4.1.26 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya Wapiga Kura 20,851 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katik... Read more »
NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar HABARI MSETO 3.1.26 0 NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini n... Read more »
WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI Z'BAR WAKABIDHIWA ZAWADI HABARI MSETO 3.1.26 0 Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameuagiza Uongozi wa Wizara ya elimu na Mafunzo ya Amali Pemba kufuatilia na kuha... Read more »
OFISI YA MAKAMU KUBORESHA HIFADHI YA MAZINGIRA KUKABILI MAFURIKO HABARI MSETO 3.1.26 0 Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema itaendelea kuboresha usimamizi wa hifadhi ya mazingira ili kuwaondolea wakazi wa Kilosa n... Read more »
Kongamano la Madereva boda baoda bajaji na Mama lishe kufanyikaa January 2026 HABARI MSETO 30.12.25 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirikisho la madereva boda boda na bajaji na Mama lishe wameiomba Serikali kulitazama kundi hilo kwa kul... Read more »
SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup HABARI MSETO 29.12.25 0 SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup, unao... Read more »
BODI YA MAJI RUFIJI YAANZA KUREJESHA MITO ILIYOPOTEA BONDE LA USANGU HABARI MSETO 27.12.25 0 NA DENIS MLOWE, MBARALI, MBEYA BODI ya Maji Bonde la Rufiji kupitia Mradi wa NBS–USANGU imeanza rasmi zoezi la urejeshaji wa mito iliyokuw... Read more »
Umoja Wa Wafanyabiashara Wadogo Mkoa wa Dar es salaam walaani vikali Uvunjifu Wa Amani HABARI MSETO 25.12.25 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Umoja wa Wafanyabiashara Wadogo Mkoa wa Dar es Salaam umeungana kulaani vikali matukio ya uvunjifu wa amani... Read more »
Jumuiya ya Shia Ithna'ashriayyah Tanzania Yatoa salamu za Krismasi kwa Wakristo wote HABARI MSETO 25.12.25 0 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kiongozi Mkuu wa Jumuiya ya Shia Ithna'ashariyyah Tanzania, Sheikh Hemedi Jalala ametoa salamu za siku... Read more »
Zambia yasherehekea miaka 61 ya Uhuru HABARI MSETO 24.12.25 0 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe (kulia) akigonganisha glasi na Balozi wa Zambia... Read more »
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM HABARI MSETO 20.12.25 0 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo ... Read more »
DKT. MWIGULU: AMANI HAICHEZEWI, WATANZANIA WOTE TUILINDE HABARI MSETO 18.12.25 0 *Asisitiza wananchi kujiepusha na watu wenye nia ovu na Taifa lao WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania wote kuendelea ku... Read more »
Baridi Sokoni kunufaisha wakulima 4,000 HABARI MSETO 18.12.25 0 Na Mwandishi Wetu Shilingi bilioni 16 zinatarajiwa kutumika katika kipindi cha miaka minne kutekeleza Mradi wa Baridi Sokoni, unaotekelezwa ... Read more »